usajili wa chama yanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Kihasibu, Chama ni hasara Kwa Yanga, uchambuzi ni huu hapa

    Kama kawaida ya wahasibu wa Tanzania, ambapo hua tunasomea na kuchambua mpira, Mambo ya kihasibu, yaani kuhesabu mafaranga njoo kama vile tuliwachambulia Kwa Aziz Ki. Kwahiyo uelekeo wa CPA ndio unaonesha yote hayo, Haya mambo hamuwezi kuyaelewa ninyi Yanga, na hamtoelewa. Yaani uhasibu ni...
  2. U

    Chama avaa jezi ya Yanga kwa mara ya kwanza

    Amevaa jezi ya Yanga leo
  3. Pdidy

    Wakichukua Morrison na nyie chukuen wao

    UNABII HAUSIHI MPAKA UTIMIE Jakaya amenikumbusha mbali sana enzi napenda kwenda uwanjani. Alikuwepo akasikia Simba wamechukua Morrison. Hahaha akajibu, "Kama wamechukua Morrison, na nyie chukueni wao." Naona unabii umetimia... Kwa Manara, Done. Akiwa Simba, alisema Yanga hawatachukua...
  4. Labani og

    Ali Kamwe: Mashabiki wengi wa Simba wamfuata chama

    MASHABIKI WA SIMBA WAMFATA CHAMA YANGA "Wengi wanauliza mpaka sasa tumenufaika vipi na utambulisho wa Chama. Mpaka sasa tumepokea taarifa za mashabiki wa upande wa pili ambao wamehamia Yanga akiwemo Baba Kamwe nae amemfuata Chama. Wote waliohama tunawaandalia siku maalumu ya kuwapokea" Ally...
  5. THE FIRST BORN

    Chama Kwenda Yanga hii inaonyesha kwa sasa hakuna Mchezaji anaweza ikataa Yanga ikimtaka

    Nisikuchoshe..wewe ndie Mchezaji ushacheza sana unaona kabisa unaelekea ukingoni Yanga hawa apa na Yanga tena hii ya Hersi ambayo inashawishi kila kitu yani hii Yanga inashawishi Ndani na Nje ya Nchi. Imekufata utagoma? Mfano tu Mi shabiki LiaLia wa Manchester United Imagine Leo hii Mchezaji...
  6. Manyanza

    Sasa tutarajie Chama kuitwa Chezaji la Dunia?

    KELELE ZA MAJIRANI KUHUSU CHAMA KABLA YA USAJILI. Chama hana kasi Chama anapoozesha mipira Chama anaharibu "move" za wenzie Chama hapati namba Yanga SC Chama siyo mchezaji wa mechi kubwa Chama mbinafsi na mchoyo Chama kazeeka Chama mnamlea vibaya sana Chama amevimba kichwa Chama mkubwa kuliko...
  7. C

    Chama anasajiliwa Yanga kwa ajili ya kuuza jezi na kuongeza tu umaarufu wa brand ya Yanga

    Ukweli hawezi kuwa na nafasi kubwa kwa uchezaji wa yanga labda kama ataingia kwenye mfumo wao kitu ambacho ni kigumu. Yanga wanamchukua kwa ajili ya kuuza jezi tu.Wako kimkakati sana.Huyu hata akibaki Simba hawezi kuwa na utofauti sana na tulivyo muona msimu huu ulioisha. Yanga wanapata sifa...
Back
Top Bottom