Kama kawaida ya wahasibu wa Tanzania, ambapo hua tunasomea na kuchambua mpira, Mambo ya kihasibu, yaani kuhesabu mafaranga njoo kama vile tuliwachambulia Kwa Aziz Ki.
Kwahiyo uelekeo wa CPA ndio unaonesha yote hayo, Haya mambo hamuwezi kuyaelewa ninyi Yanga, na hamtoelewa.
Yaani uhasibu ni...
MASHABIKI WA SIMBA WAMFATA CHAMA YANGA
"Wengi wanauliza mpaka sasa tumenufaika vipi na utambulisho wa Chama. Mpaka sasa tumepokea taarifa za mashabiki wa upande wa pili ambao wamehamia Yanga akiwemo Baba Kamwe nae amemfuata Chama. Wote waliohama tunawaandalia siku maalumu ya kuwapokea" Ally...
Nisikuchoshe..wewe ndie Mchezaji ushacheza sana unaona kabisa unaelekea ukingoni Yanga hawa apa na Yanga tena hii ya Hersi ambayo inashawishi kila kitu yani hii Yanga inashawishi Ndani na Nje ya Nchi.
Imekufata utagoma?
Mfano tu Mi shabiki LiaLia wa Manchester United Imagine Leo hii Mchezaji...
KELELE ZA MAJIRANI KUHUSU CHAMA KABLA YA USAJILI.
Chama hana kasi
Chama anapoozesha mipira
Chama anaharibu "move" za wenzie
Chama hapati namba Yanga SC
Chama siyo mchezaji wa mechi kubwa
Chama mbinafsi na mchoyo
Chama kazeeka
Chama mnamlea vibaya sana
Chama amevimba kichwa
Chama mkubwa kuliko...
Ukweli hawezi kuwa na nafasi kubwa kwa uchezaji wa yanga labda kama ataingia kwenye mfumo wao kitu ambacho ni kigumu.
Yanga wanamchukua kwa ajili ya kuuza jezi tu.Wako kimkakati sana.Huyu hata akibaki Simba hawezi kuwa na utofauti sana na tulivyo muona msimu huu ulioisha.
Yanga wanapata sifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.