Beki wa kati, Lameck Elias Lawi, ameanza rasmi leo katika kikosi cha Coastal Union kinachocheza dhidi ya Mashujaa FC, mechi ya ligi kwenye uwanja wa KMC Complex.
Lawi amejiunga na Coastal Union baada ya majadiliano ya muda mrefu kati ya Simba Sports Club na Coastal Union, ambapo Simba ilikubali...
ahmed ally
coastal union
dhidi
kikosi
lamecklawi
mashujaa
mashujaa fc
simba
simba sc
soka la bongo
union
usajiliwalamecklawi
yanga 2-1 simba
yusuph kagoma
Mliposti kwa madaha kuwa mmemsajili beki wa Coastal Union, mkamsifia kuwa ni beki la kazi, beki katili, sasa Lawi ameonekana kwenye camp huko akijiandaa kucheza Cecafa.
Wajibuni mashabiki maandazi nini kimetokea, maana mnakurupuka tu.
Basi utasikia mashabiki mazuzu wakisema kuwa Lawi hana sifa...
Salaam,
Viongozi wa Simba mnapaswa kufanya usajili kutafuta mbadala wa LAMECK LAWI wakati mkitafuta suluhisho la mgogoro huo. Msisubiri muda unaenda sana.
Tafadharini najua mtaenda CAS ila kwa kipindi hiki tafuteni mashine zaidi ya Lawi.
Kama usajili wa Lameck Lawi ni kwenda kuziba nafasi ya Henock Inonga basi Simba wame-prove failure, otherwise Lawi ani-prove wrong.
PIA SOMA
- Henock Inonga Baka ameondoka Simba SC
- Hii Dunia ina Vituko sana, eti Lameck Lawi ndiye wa kumkaba PACOME au yupo Mwingine tumsubiri?
- Beki Lameck...
Usinchoshe na nsikuchoshe,Tusichoshane!
Hivi huyu Beki anayeitwa "KISIKI CHA MPINGO" mliyemnunua kutoka huko kwa Ndugu zenu ndiye mnayemtegemea amkabe PACOME au labda kuna mwingine tuendelee kusubiri?
Pale mbele kuna Dubwana liitwalo DUBE
Kuna mpiga zeze na Marimba aitwaye ZENGELI,huyu yeye...
Maswali muhimu ya kujiuliza juu ya usajili wa LAMECK LAWI.
1). Kwanini SIMBA watambulishe picha za wanyama badala ya picha ya mchezaji husika.
2). Kwanini SIMBA wamtambulishe LAWI katikati ya SENKYU zao hali ya kuwa inaonekana bado hawajamaliza kutoa SENKYU Klabuni mwao. SIMBA walikuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.