usajili wa simba 24/25

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Viongozi wa Simba mmeona Yanga wanafuatilia ushauri wangu? Sasa wanamalizana na Kevin Nashon

    Nimewahi kuwaomba na kuwashauri mumsajili Kevin Nashon ambaye naskia Yanga wako mbioni kumalizana naye, mpira wengine tunaujua nyie mnatuchukulia poa tu. Niliwahi kushauri kuhusu Mudathiri mkanipuuza, sasa hivi nawashauri tena Gerad Gwalala wa Coastal Union ni mali, Mtenje Albano ni mali...
  2. Juice world

    Simba ikichukua ubingwa ndani ya miaka 10 nipigwe ban

    Mimi ni mpenzi wa mpira nilivyoiona hii timu ya simba haiwezi kuwa bingwa ligi kuu miaka 10 mfulilizo endapo IKICHUKUA UBINGWA nipigwe ban ya maisha humu JamiiForums. Nina uhakika Kwa ninachokiongea haitokuja kutokea simba ikabeba ubingwa maana ubingwa umeshakua Mali ya yanga miaka 10 mfululizo...
  3. Tajiri Tanzanite

    Uwepo wa Manula Simba sc inatengeneza mazingira magumu ya ufanyaji kazi kwa Camara

    Hapo vip! Ukweli ni kwamba usaliti ni tabia na tabia ni kama ngozi, Simba sc wanatatizo kubwa sana kwenye uongozi, kitendo cha kutompa mkono wa Thank you Manula mpaka sasa ni ishara wa uwepo wa uongozi dhaifu na wakutojitambua kwenye club ya Simba. Manula kuna tuhuma za usaliti dhidi ya club...
  4. Labani og

    Ngereza: wachezaji wa Simba SC hawana fitness

    Kuna changamoto kubwa sana kwenye sehemu ya fitness ya wachezaji wa Simba na hii inaweza ikawa inasababishwa na mwalimu ndo maana Kuna wakati unaona wachezaji wanatafuta walimu binafsi wa mazoezi". Ukiangalia jinsi ambavyo wachezaji wa Simba mikimbio Yao unawaona kabisa hawana Fitness,angalia...
  5. U

    Rais wa Yanga aisifia Simba kuwa wana timu nzuri sana na wamefanya uwekezaji mkubwa wa billion 7

    “Simba wana timu nzuri, wameweka uwekezaji mkubwa, tumeambiwa wameweka Bilioni 7 kwenye usajili na kuna maingizo mengine ni uwekezaji mkubwa, tulipocheza nao Mchezaji aliyenivutia ni Balua, amenionyesha kitu kizuri naendelea kumtia moyo aongeze jitihada,” Rais wa Yanga Sc, Eng. Hersi Said.
  6. Frank Wanjiru

    Ahmed Ally: Tuwape muda wachezaji wetu watafute ubora.

    Meneja wa habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally kupitia ukurasa wake wa instagram ameandika "Pamoja na kushinda dhidi ya Tabora United lakini ukweli ni kuwa tunahitaji kuwapa muda zaidi wachezaji wetu waendelee kutafuta ubora wao Tumesajili Wachezaji bora sana ambao wamefanya makubwa...
  7. Mkalukungone mwamba

    Namna Maokoto ya Waarabu yalivyo haribu dili ya Simba kwa Mabululu kabla ya Ateba

    Simba kabla ya kumsajili Leonel Ateba ilikuwa imepiga hodi kwa Al Ittihad ya Misri kuulizia uwezekano wa kumsajili straika tishio wa Angola, Agostinho Cristovao Paciencia 'Mabululu', lakini ghafla mpango wao ukatibuliwa na fedha za kumwaga za Al Ahli Tripoli ya Libya ambayo ndio imefanikiwa...
  8. SAYVILLE

    Hakuna Leonel boya, Simba tumefunga zoezi la usajili kwa kishindo tukutane dimbani

    Niliongea na tajiri Mo akanisikiliza. Tajiri alikuwa kachafukwa. Aliona dharau zimezidi mtaani. Kaenda Uarabuni kabeba chuma kingine. Simba misimu hii miwili imechukua wachezaji wawili ACTIVE kutoka timu za Uarabuni, tena timu kubwa. USMA ndiyo wale waliwapiga mabomu vyura usiku na mchana na...
  9. Pdidy

    Leo dirisha Kubwa la usajili linafungwa saa sita usiku. Vipi Feitoto bado anaenda Simba?

    Hofu yangu bado ipo mpaka nikoona saa sita imefika Suala la Feisal kwenda Simba limentesa sanaa ngoja tuone Soma Pia: Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC.
  10. Majok majok

    Viongozi wa Simba muache kuishi kizamani sasa hivi kila timu inajua haki zake na zimejidhatiti

    Nafikiri tatizo kubwa la kwanza lililopo pale Simba ni uongozi. Viongozi wa Simba wengi pale waliopo ni wazee ambao wanaishi bado kizamani awataki kubadilika na kwenda na kasi ya mabadiliko yaliyopo Sasa hivi kwenye Kila kitu. Viongozi wa Simba wengi wakina Magori, Try again na wengine bado...
  11. Nehemia Kilave

    Klabu namba 7 kwa ubora Afrika, haya mambo ya Awesu tusiyaendekeze

    SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25 1. Al Ahly (Egypt) – 87 points 2. Esperance (Tunisia) – 61 points 3. Wydad AC (Morocco) – 60 points 4. Mamelodi Sundowns (South Africa) – 54 points 5. Zamalek (Egypt) – 48 points 6. RS Berkane...
  12. King Leon 1

    Viongozi wa Simba ndio wanaiua timu bila wao kujua kwa kufanya usajili wa kizamani mwishowe wanapoteza wachezaji je nini kifanyike?

    Kila nikiamka nakutana na habari mbaya za Simba tu bila kuelewa zinatoka wapi na je Viongozi kazi yao nini? Utaratibu wa kusajili kwasasa umebadilika na kuwa wa kisasa zaidi yaani uwazi na ukweli hakuna tena umafia wala njia za mkato kama ilivyo zamani ila naona viongozi wa Simba wameshikilia...
  13. Mkalukungone mwamba

    Israel Mwenda arudisha pesa zote Simba SC na kusepa klabuni hapo

    Klabu ya Simba Sc imethibitisha kuridhia ombi la mchezaji Israel Mwenda kuondoka klabuni hapo baada ya nyota huyo kudai kuwa amepata timu nyingine Taarifa ya Wekundu hao wa Msimbazi imebainisha kuwa nyota huyo alisaini mkataba mpya wa miaka miwili lakini kabla ya kuanza kuutumikia, aliandika...
  14. GENTAMYCINE

    Ili kuuonyoosha Uongozi wana Simba SC tungekuwa na Akili tungesusia kwenda Viwanjani, ila kwakuwa tunapenda Kudanganywa kama Kuku tunaenda tu

    Nikiambiwa kwa sasa nitoe Alama za Kikosi cha Simba SC cha sasa baada ya Kukiona natoa ni 10% tu, ila 90% Kibovu. Soma Pia: Mashabiki wa Simba tukatae kukosa weledi kwa viongozi wa timu Mangungu Simba sc hapamfai,Na Mashabiki Hawamuhitaji Mangungu. Nawapongeza mno Mashabiki wa Simba SC kwa...
  15. ngara23

    Huyu coach wa Simba Fadlu Davids na viongozi wataikwamisha project ya Simba, wana wenge sana

    Nilivomuona sio mtulivu. Au labda hajawahi kuwa coach mkuu popote alikuwa msaidizi huko kote alikotoka, hivi Simba hawakupata cv za coach wa maana Kwa ajili ya project yao? Coach amekuja amefanya pre season na team, wamewaona mastriker wote Mukwala na Fred na akawa ana sifia ati ana team nzuri...
  16. Its Pancho

    Simba wanaenda kusajili tapeli jingine! Sad

    Wakuu Hii klabu haiishiwi vituko kwa kweli Baada ya kupoteza pesa kucheza misri na madereva taxi na kurudi kukalia bomba la yanga huku wakijitapa kuwa "wamekalia kimoja tu" Sasa wameona rasta Freddy the snake boy hatoshi na mwenzie yule Steve Mukwala pia Then wamemua kusajili garasa la ki...
  17. Majok majok

    Simba mnajipiga risasi wenyewe na zitawaua wenyewe, huyo Lionel Atteba mnayetaka kumsajili rekodi zake hivi karibuni mmezifatilia?

    Sielewi Hawa viongozi wa Simba wanakuwa wanafikiria nini vichwani mwao lakini nahisi pale Simba bado Kuna viongozi wapigaji sana! Uyu jamaa anayetaka kusajiliwa Kama mshambuliaji ni mzigo mwingine unaenda kuletwa pale, ukiona vilabu vya kaskazini vinamuachia mchezaji kirahisi rahisi tu ujue...
  18. G

    Dirisha bado halijafungwa, Simba tafuteni mbadala wa Fredy na ngoma tu, halafu kazi imeisha

    Dirisha bado halijafungwa, Simba tafuteni mbadala wa Fredy na Ngoma Tu, Halafu Kazi Imeisha Kama umeangalia mpira sina cha kuongeza, nawakilisha kama ilivyo hapo juu. Soma Pia: Usajili wa Freddy Micheal Koublan, Simba SC tumepigwa!
  19. GENTAMYCINE

    Endeleeni tu kudhani kuwa hii Kauli Mbiu mpya ya Simba SC ya 'Ubaya Ubwela' wamekurupuka tu kuja nayo kwa sasa

    Kudadadeki ile mianya yote ya Tigo Pesa, Ushirikina na Usaliti wa ndani Mafia wa Timu wameshaiziba hivyo mtakoma.
  20. HONEST HATIBU

    Augustine Okajepha Ni Mnyama (Simba Sc)

    Klabu ya Simba imetangaza kuinasa saini ya kiungo mkabaji Augustine Okajepha raia wa Nigeria mwenye umri wa miaka 20. #SimbaSC #Usajili #KiungoMkabaji
Back
Top Bottom