usajili yanga sc

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ngara23

    Yanga dirisha dogo la usajili Fanya haya

    Dirisha dogo la usajili linakuja January Yanga Bado tuna kikosi kizuri mno Naomba viongozi msivunje timu Kwa kuingiza wachezaji wengi 1. Mtoe kasi ya Baleke au Msonda ili muingize kiungo mkabaji aje kumsaidie Aucho ambayo energy yake inashuka 2 Beki wa kulia wa ndani ya nchi Yao hana mbadala...
  2. Mr Alpha

    Tetesi: Yanga imekataa ofa ya pili ya klabu ya Wydad ya Tsh Bilioni 1.7

    - Wydad Casablanca wanamtaka mshambuliaji Clement Mzize (20). Ofa ya kwanza ya Wydad kwenda Yanga kwa ajili ya kuinasa saini ya Clement Mzize ilikuwa $100k Tsh 270 milioni na kipengele cha kuongeza pesa hadi kufika 400 million kutokana na Performance yake uwanjani. Yanga wakaitupilia mbali...
  3. ngara23

    Yanga atatambulishwa nani usiku wa leo?

    Baada ya alfajiri ya Leo Yanga kumtambulisha mchezaji Bora na mkubwa sana clatus Chama. Sasa Yanga wamehaidi kumtambulisha mchezaji mkubwa. Tutabiri, je huyo mchezaji ni nani?
  4. Tate Mkuu

    Hatimaye Klabu ya Yanga imefutiwa marufuku ya kusajili

    Kwa mashabiki, wanachama, na wadau wote wa michezo kwa ujumla! Habari ndiyo hiyo. TFF na FIFA kwa pamoja wameifuta ile marufuku yao ya kuizuia klabu ya Yanga kufanya usajili. Na hii ni baada ya mchezaji Lazarus Kambole kumalizana kwa amani na Wanajangwani. Rai yangu kwa Yanga; 1. Timu ya...
  5. benzemah

    Yanga na rangi Nyekundu kwenye Logo ya NBC Bank

    Mapema leo, NBC Bank na TFF zimeingia ubia wa udhamini wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara, NBC wakiweka mezani bilioni 7.5 kwa kipindi cha miaka 3. Moja kati ya faida anazotarajiwa kupata NBC Bank kama mdhamini ni uwepo wa nembo/chapa yake (Logo Placement), katika jezi za timu shiriki katika Ligi...
  6. Francis fares Maro

    Naomba kujuzwa kinachoendelea katika michuano ya kombe la Kagame

    Wasalaam, Ndugu wanajf naomba kupata updates za kombe la Kagame huko linavyoendelea na nikiwa shabiki lialia wa Yanga naomba matokea bila kufichwa!! Nasubiria na updates za usajili kutoka club yangu pendwa naona viongozi na mashabiki tumekua kimya sana kama tumepigwa na ganzi kunani
  7. I

    Sakata la Simba SC kumtaka Morrison lamletea shida, Klabu yake ya Yanga SC yampiga faini

    ........................................
Back
Top Bottom