usalama barabarani tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sheria na Kanuni za Usalama Barabarani Tanzania zinasema nini kuhusu Self Driving cars?

    Kwa kasi ya ukuaji wa teknolojia kwenye tasnia ya magari, self driving cars sio muda itakua kitu cha kawaida. Kwa nchi za wenzetu, wameshajipanga kwa ilo na kua na sheria na miongozo mbalimbali ya self driving cars. Wana sheria zitakazo solve migogoro endapo itatokea ajali, kutakua na...
  2. IGP Camillus Wambura afanya mabadiliko kwa wakuu wa kikosi cha Usalama barabarani

    Wakuu, Jeshi la Polisi Tanzania chini ya IGP Wambura limetangaza mabadiliko madogo kwenye safu za uongozi wa Kikosi cha Usalama Barabarani. Katika mabadiliko hayo: Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Ramadhani Ngโ€™anzi amehamishwa kutoka Kamanda wa Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania...
  3. M

    Usalama barabarani Tanzania, iwe mada ya lazima kufundishwa na maswali yake yajibiwe kwa lazima na kila mtahiniwa kwa ngazi zote za elimu nchini

    Kutokana na ongezeko kubwa la vyombo vya moto, vyombo vya usafirishaji na mitambo mbalimbali inayotumia barabara, ipo sababu ya mitaala na miongozo ya ufundishaji au utoaji mafunzo yoyote nchini kujumuisha mada ya usalama barabarani ili kupanua wigo katika uelewa wa matumizi sahihi ya barabara...
  4. USIIGE: Kila Mtu ana mwendo wake barabarani na sababu zake

    Ligi za barabarani kati ya madereva nyingi zimesababisha majanga mengi kwa: Madereva, Abiria, Waenda kwa miguu, Magari, Na uharibifu wa mali. Kuna Watu leo hii ni marehemu, wakiwa wameacha wajane na yatima kwa sababu ya hizi ligi. Kuna watu leo hii ni walemavu na wamegeuka tegemezi kwa...
  5. Njia hii inahitajika sana Tanzania

    Kama video inavyoonesha , njia hii ikija bongo Sheria za Usalama barabarani na alama zitaheshimiwa
  6. ๐—๐—ฒ, ๐—ต๐—ฎ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—ฎ๐˜€๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—น๐—ฎ๐—บ๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐—ป๐—ถ ๐—ฎ๐˜‚ ๐—ง๐—ฅ๐—”?

    Jana tumepoteza watu 14 katika ajali iliyohusisha roli na magari mengine likiwemo basi la abiria mteremko wa Simike Mbeya. Kinachonisikitisha ni kwamba eneo hili lina askari wa usalama barabarani ambao badala ya kuongoza magari kutokana na hatari ya eneo hilo wao muda wote wako busy kukagua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ