Matukio unayosikia ya kutisha kama watu au mtu kuvamiwa na kuuliwa mengi yapo mipakani sababu wahalifu wanapata mwanya mzuri wa kukimbia au kuja.
Jeshi la polisi linatakiwa kuweka kitengo cha polisi kinachoitwa ranger .
majukumu yake ni polisi ambao wapo mipakani tu na vijijini vilivyo na...