usalama wa barabarani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ghost MVP

    Hatari! Wezi kuweka Vyuma barabarani ili kufanikisha wizi, baada ya vyuma hivyo kupasua tairi za gari litakalopita

    Wizi barabaran umekuwa sana, hivyo tujihadhari sana watumia Barabara maana unakuta upo speed kubwa hii inaweza kusababisha hata ajali na ikapoza maisha ya waendesha vyombo vya magari.. Mamlaka husiaka iwe inakagua barabra zake kulingana na mikoa na kata na ukanda zilipo. Ili kuepusha haya
  2. B

    Polisi Usalama wa Barabarani: Safari za Usiku za Mabasi haiwezekani kwa route zote

    Mkuu wa kikosi cha Polisi cha Usalama wa barabarani ACP Ramadhani Ngazi asema kuna changamoto za kiusalama. Ni kwenye baadhi ya mikoa kutokana na ujambazi n.k Akitaja maeneo ya Rukwa, Katavi, Kagera kuna mapori ambayo ni tishio kwa utekaji. Akizungumza mbele ya kikao cha LATRA baada ya azimio...
Back
Top Bottom