usalama wa wananchi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    KERO Mitaa ya Tengeru Arusha vibaka wanapora na kuumiza watu. Hatua za Haraka zinahitajika

    Jana nilikuwa naongea na moja ya wananchi washio Arusha. Ktk kupiga stori za hapa na pale aliniambia visa na matukio ambayo mimi binafsi yamenitisha na kuniumiza kichwa. Usalama wa Wananchi Arusha hasa mitaa ya Tengeru umekuwa Mdogo. Kuna matukio ya kiharifu yametokea kati ya Tarehe 12 na 15...
  2. I

    Ripoti ya Takukuru kuhusu 'ujenzi holela wa vituo vya mafuta' ilibaini Kituo cha Lake Oil Kawe kipo eneo salama? mbona kinabomolewa na kujengwa upya

    Miezi sita iliyopita hapa jukwaani kulikuwepo na mijadala kuhusu ujenzi holela wa vituo vya mafuta hali ambayo inadaiwa kuhatarisha usalama wa Wananchi kutokana na vituo hivyo kujengwa karibu na makazi ya watu. Mfano wa Kituo cha mafuta kilichotajwa ni kituo cha Lake Oil kilichopo Kawe...
Back
Top Bottom