usalama wa watu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. BigTall

    Mamlaka zinazohusika ziangalie Mbwa wanaozagaa Mitaani bila uangalizi maalum, wanaweza kuwahatarishi kwa Watu

    Imekuwa kawaida kuona wanyama mbalimbali hasa wale ambao wanaonekana hawana madhara ya mara kwa mara kwa Watu wakiwa mitaani hawana muelekeo, lakini inapotokea Wanyama hao wanaanza kusababisha madhara ndipo ambapo Mamlaka zinaibuka kuanza kuchukua hatua. Mfano huku mitaa ya kwetu huku Dodoma...
  2. A

    KERO Dar es Salaam: Kituo cha Mafuta Oasis - Mwenge kimegeuka kuwa kituo cha daladala na bajaj

    Kituo cha Mafuta cha Oasis kilichopo Mwenge kimegeuka Kituo cha Daladala na Bajaj kiasi cha kuhatarisha maisha na kuwa kero kwa watumiaji sahihi wa kituo hicho. Mamlaka husika shughulikieni hili kabla majanga hayajajitokeza, kwani sehemu moja iwe kituo cha vyombo vyote hivyo huku vingine...
  3. A

    DOKEZO Ujenzi hatarishi kwa maisha na usalama wa watu Goba Kinzudi

    Wakuu salama! Kwa masikitiko makubwa na baada ya kujishauri kwa muda mrefu nimeamua hili kulileta hapa jukwaani pengine hili suala laweza patiwa ufumbuzi. Ni Hivi Kuna mtu alikuwa anamiliki fremu za maduka zipatazo Karina nane zikiwa katika umbo la L_shaped ambazo zilikuwa zimejengwa chini ya...
Back
Top Bottom