Bila shaka ilisha wahi kukupata hii...
Umeamka zako Asubuhi unajikuta umewekwa kwenye group na mtu pengine hata humjui.
Mara group la Mchango mtoto kameza shoka hahahah (jokes) Nk.
Kuna muda inakera na kuudhi ... Basi kuanzia leo ukisoma makala hii fupi litakuwa limeisha...
Mimi Naitwa...