usaliti katika ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kyagata

    Jamaa yangu na mkewe wamejikuta kwenye group moja la kutafuta Wachumba huko FaceBook

    Ni matumaini yangu kila mmoja wetu ni mzima wa afya. Kuna issue moja jamaa yangu kanisimulia na kuniomba ushauri nikashindwa hata pa kuanzia kumshauri asee. Jamaa na mkew wako kwenye ndoa huu ni mwaka wa 5 wanaishi pamoja na wamejaaliwa kuwa na watoto wawili. Jamaa anasema juzi jumapili wakt...
  2. Se Busca

    Hivi ni mimi tu ninayenyimwa tendo la ndoa na Mke wangu? au wengine mpo?

    Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa...
  3. Nyatyo

    Naomba ushauri mke wangu ameanza kunidharau

    Habari wakuu jamani hapa ni ushauri wa kujenga tu ndio unahitajika. Wakuu, mimi nimeoa nampenda sana mkewangu lakini hapa juzi kati nilichepuka na sikutumia kinga maana niliechepuka nae ni mtu wangu wa siku nyingi tu na ndio michezo yetu hio sasa kiukwel baada ya siku kupita nilianza kupata...
  4. covid 19

    Kwa wanawake, unapokubali kuchepuka ni aibu na fedheha sana sana kwa mumeo

    Kinachotuuma wanaume sio wewe kugawa nje hapana kinachoumiza ni vile mwanaume mwenzangu kuona utupu wako na kujua uzuri na udhaifu wàko wakati si mmiliki wa mali. Sisi wanaume tukiwa faragha uwa tunapenda kumchora mwanamke maumbile yk na kumfanyia tathimini sisi wanaume hasa waume zenu...
  5. Mtoto wa nzi

    Maumivu ya Usaliti: Safari yangu ya kutafuta amani baada ya miaka 12 ya ndoa

    Ikumbukwe, nimeanzisha nyuzi kadhaa kuhusu mimi na mke wangu mpaka ikafika hatua ya kumwachia nyumba (nyumba niliyojenga kabla ya kumuita na kumtafutia kazi). Uzi upo humu. Hata niliporudi, sikuwa nalala naye, ingawa hamu zilikuwepo. Tulipima, na alijuta, akijua kosa lake. Hata kama alikuwa na...
Back
Top Bottom