Jamaa amekaa na mkewe kwa zaidi ya miaka 15, lakini mkewe akawa anachepuka na jamaa mwingine huko nje ambaye ni mkataa ndoa.
Baada ya kufumaniwa, akapewa talaka hapo hapo; hajui anaanzia wapi.
Kupitia video hii, kuna cha kujifunza.
https://www.youtube.com/watch?v=XNMzdsyaG38