usaliti kwenye ndoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. KikulachoChako

    Usaliti kwenye Ndoa: Jambo baya sana ambalo jamii inalichukulia kuwa la kawaida

    Sabal kheri waungwana. Nyakati fulani nilikuwa kwenye kijiwe kimoja tukibadilishana mawili matatu ya maisha na changamoto zake na kuangalia namna gani tunazikabili. Katika maongezi hayo likaibuka suala mambo ya ndoa kama ilivyo kawaida kuwa na yenyewe ni sehemu ya changamoto kwenye maisha yetu...
  2. Melki Wamatukio

    Ndoa za siku hizi hazina uaminifu hata kidogo

    Inasikitisha sana. Mbususu zinachakatwa sana nje ya ndoa hasahasa kwenye mtaa wangu. Nina mpango kusaidiana na jeshi la sungu sungu ili kuwakabili wanaume wenye tabia za kuchakata wake za watu ilihali wanajua wazi kuwa huyu ni mke wa mtu. Kwenye mtaa wangu si tu vijana, yaani hadi wazee wanaruka...
  3. Mjukuu wa kigogo

    Mwanaume, ukiona tabia za Mwanamke zimekushinda muache aende na si kumpiga

    Kwa mliooa kama mke anachapwa sana, please move on. Mambo ya kupiga mwanamke yatakufikisha pabaya. Utaharibu future Yako.
Back
Top Bottom