usambazaji wa maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pre GE2025 DAWASA: Usambazaji wa maji Kinondoni wafikia 97%, Je, ulipo bado kuna shida ya maji?

    Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na usafi wa Mazingira Dar Es Salaam(DAWASA) @dawasatz Mhandisi Mkama Bwire amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kusaidia upatikanaji wa maji katika Wilaya ya Kinondoni kufikia asilimia 97%. Akizungumza katika Kikao Kazi cha DAWASA na...
  2. Usambazaji wa Maji ya Bomba Musoma Vijijini

    USAMBAZAJI WA MAJI YA BOMBA MUSOMA VIJIJINI Jimbo la Musoma Vijijini lenye vijiji 68 linayo miradi ya usambazaji wa maji ya bomba ndani ya vijiji vyote 68 - tunaishukuru sana Serikali yetu Mradi wa Kata za Busambara & Kiriba: Tenki la ujazo wa lita 500,000 limejengwa Kijijini Mwiringo kwa...
  3. Mradi wa usambazaji maji Dar ya kusini maarufu kama Bangulo, kukamilika Desemba 2024 na utahudumia wakazi zaidi ya 450,000

    WAKAZI DAR ES SALAAM YA KUSINI WAPEWA UHAKIKA MAJISAFI IFIKAPO DISEMBA 2024. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi (Mb) ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa usambazaji maji Dar es Salaam ya kusini maarufu kama Bangulo na kuahidi kukamilika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…