usawa wa ajira

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    DOKEZO Hali ni mbaya sana kwa walemavu tuliosoma, Si Serikali wala kampuni binafsi ambazo ziko tayari kutuajiri. Tunabaguliwa

    Niende kwenye mada moja kwa moja!!. Nimekuwa moja ya wahanga wa hili Tatizo kwa muda mrefu sana Kati ya watu wanaosoma kwa mateso makubwa sana ni watu wenye ulemavu, kuanzia shule za msingi mpaka sekondari, hii inatokana na miundo mbinu mingi kuwa tofauti na Hali zetu watu wenye ulemavu...
Back
Top Bottom