Universal Serial Bus (USB) is an industry standard that establishes specifications for cables, connectors and protocols for connection, communication and power supply (interfacing) between computers, peripherals and other computers. A broad variety of USB hardware exists, including 14 different connector types, of which USB-C is the most recent and the only one not currently deprecated.
First released in 1996, the USB standards are maintained by the USB Implementers Forum (USB-IF). The four generations of USB are: USB 1.x, USB 2.0, USB 3.x, and USB4.
Umeanzisha stationery machine zote muhimu unazo isipokiwa flash na usb Leo flash Hadi buku 5 unapata usb 1500 kwa 2000
Unajikuta unakosa jero ya wateja bure printer ya Epson 300-400k, photocopier ya canon 700-1000k na vikorokoro vingine unakosa usb na flash
Flash inawaka ila nikiichomeka kwenye PC inalazimisha niifomat.
Ila notification inasema tap to fix na signal ya flash inawaka ,hii wadau inaweza kupona na DATA zikaendelea kubaki?
ni juzi hapa niliweka post ya kununua hard disc kuigeuza iwe external lakini speed yake ya kuhamisha mafaili ilikuwa ndogo sana, wadau wakanipa elimu ndio nikagundua tatizo lipo kwenye kasha / case ya harddisk ni usb 2.0.
wafanyabiashara wameshazoea mteja akienda dukani anaulizia bidhaa flan...
Habari wadau!
Nina laptop yangu aina ya Dell ambayo USB ports zote zimegoma kabisa kufanya kazi.. Na hiyo laptop natumia external keyboard na mouse sababu keyboard yake imekufa.
Sasa nikiwasha inaniambia press F1 to continue na hiyo key inapatikana kwenye keyboard nayo haiditect.
Msaada wakuu
Katika enzi ya teknolojia, ulinzi na usalama wa data zako ni muhimu zaidi kuliko hapo awali. Picha, nyaraka muhimu, na mafaili ya kazini vyote vinahitaji kutunzwa na vizuri kuwa na backup. Na USB Flash Drive, inakupa suluhisho unalolihitaji.
📁 Nafasi Kubwa ya Hifadhi: Hifadhi picha, video, na...
Inshort' Nilinunua flash yangu GB 16 imation nikaweka file zangu important ila finally hii flash Ikawa haisomi Tena Baada ya kuitumia kwa mienzi kadhaa.
Baadae nikanunua nyingne ya GB 8 ila kampuni ni Disk, sasa na yenyewe haisomi tena baada ya kuitumia kwa mienzi kadhaa.
Changamoto hizi...
Nahitaji usaidizi...pc yangu dell mini kila aina ya usb nilizojarib hazisomi zinachaji tu. Namaanisha data cable halafu nikiwasha inachukuwa muda mrefu sana kuonyesha window ili niweke nywira niingie. Tatizo nini
Habari za wakati huu wamachama wote wa JF ,Nina uza hiki kufaa chenye usb ports 4 pamoja na waya mfupi wa type C, kifaa hiki kitakuwezesha kuchaji simu tano kwa wakati mmja endapo uta connect usb wires kwenye hizo ubs ports.
Nakiuza sh elf Saba tu (7k).
Nipo dar, ahsante
Kwa sasa, vifaa vingi ambavyo vinatumia port ya USB Type C ambazo ni latest, zinatumia aina ya USB Type-C 3.2 ambayo ina Max speed ya 20GB kwa sekunde. Teknolojia inazidi kubadilika na dunia imeingia katika mfumo mpya wa USB 4 na sasa ni toleo la 2.0.
The USB Promoter Group ni kikundi cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.