usb

Universal Serial Bus (USB) is an industry standard that establishes specifications for cables, connectors and protocols for connection, communication and power supply (interfacing) between computers, peripherals and other computers. A broad variety of USB hardware exists, including 14 different connector types, of which USB-C is the most recent and the only one not currently deprecated.
First released in 1996, the USB standards are maintained by the USB Implementers Forum (USB-IF). The four generations of USB are: USB 1.x, USB 2.0, USB 3.x, and USB4.

View More On Wikipedia.org
  1. O

    Stationery kukosa flash na usb ni ajabu

    Umeanzisha stationery machine zote muhimu unazo isipokiwa flash na usb Leo flash Hadi buku 5 unapata usb 1500 kwa 2000 Unajikuta unakosa jero ya wateja bure printer ya Epson 300-400k, photocopier ya canon 700-1000k na vikorokoro vingine unakosa usb na flash
  2. mbarakasaidi

    FLASH YANGU INAANDIKA usb corrupted tap to fix ! Inaweza kupona? Na data zisipotee?

    Flash inawaka ila nikiichomeka kwenye PC inalazimisha niifomat. Ila notification inasema tap to fix na signal ya flash inawaka ,hii wadau inaweza kupona na DATA zikaendelea kubaki?
  3. G

    Teknolojia ya usb 2.0 imepitwa na wakati, wafanyabiashara wetu wametugeuza kuwa dampo la kupigia pesa, jitahidi ununue bidhaa za usb 3.0 na kuendelea

    ni juzi hapa niliweka post ya kununua hard disc kuigeuza iwe external lakini speed yake ya kuhamisha mafaili ilikuwa ndogo sana, wadau wakanipa elimu ndio nikagundua tatizo lipo kwenye kasha / case ya harddisk ni usb 2.0. wafanyabiashara wameshazoea mteja akienda dukani anaulizia bidhaa flan...
  4. Hu Jintao

    Tatizo la USB Ports za Laptop

    Habari wadau! Nina laptop yangu aina ya Dell ambayo USB ports zote zimegoma kabisa kufanya kazi.. Na hiyo laptop natumia external keyboard na mouse sababu keyboard yake imekufa. Sasa nikiwasha inaniambia press F1 to continue na hiyo key inapatikana kwenye keyboard nayo haiditect. Msaada wakuu
  5. Jimz Group

    🔒 Backups ni Muhimu: Jipatie Flash Drives kwa Jumla na Reja Reja!

    Katika enzi ya teknolojia, ulinzi na usalama wa data zako ni muhimu zaidi kuliko hapo awali. Picha, nyaraka muhimu, na mafaili ya kazini vyote vinahitaji kutunzwa na vizuri kuwa na backup. Na USB Flash Drive, inakupa suluhisho unalolihitaji. 📁 Nafasi Kubwa ya Hifadhi: Hifadhi picha, video, na...
  6. BIG STONE AND CONER STONE

    Msaada: Fundi anayeweza kutatua tatizo la USB/Flashdrive kusoma au kuhamisha mafaili kutoka USB ambayo haisomi

    Inshort' Nilinunua flash yangu GB 16 imation nikaweka file zangu important ila finally hii flash Ikawa haisomi Tena Baada ya kuitumia kwa mienzi kadhaa. Baadae nikanunua nyingne ya GB 8 ila kampuni ni Disk, sasa na yenyewe haisomi tena baada ya kuitumia kwa mienzi kadhaa. Changamoto hizi...
  7. Mzee Saliboko

    PC HAISOMI USB

    Nahitaji usaidizi...pc yangu dell mini kila aina ya usb nilizojarib hazisomi zinachaji tu. Namaanisha data cable halafu nikiwasha inachukuwa muda mrefu sana kuonyesha window ili niweke nywira niingie. Tatizo nini
  8. Peter_John

    INAUZWA Usb port 4 in one inauzwa

    Habari za wakati huu wamachama wote wa JF ,Nina uza hiki kufaa chenye usb ports 4 pamoja na waya mfupi wa type C, kifaa hiki kitakuwezesha kuchaji simu tano kwa wakati mmja endapo uta connect usb wires kwenye hizo ubs ports. Nakiuza sh elf Saba tu (7k). Nipo dar, ahsante
  9. BARD AI

    Dunia inaingia katika aina mpya ya USB4 toleo la 2.0

    Kwa sasa, vifaa vingi ambavyo vinatumia port ya USB Type C ambazo ni latest, zinatumia aina ya USB Type-C 3.2 ambayo ina Max speed ya 20GB kwa sekunde. Teknolojia inazidi kubadilika na dunia imeingia katika mfumo mpya wa USB 4 na sasa ni toleo la 2.0. The USB Promoter Group ni kikundi cha...
Back
Top Bottom