Eagle Lake is a city in southeastern Colorado County, Texas, United States. The population was 3,639 at the 2010 census. It is home to a golf course, the largest private lake in Texas, and the Eagle Lake Regional Airport, which serves light aircraft.
The lake, along with adjacent rice fields, attracts a large variety of migratory birds. The city is known as the "Goose-hunting Capital of the World" and also borders a wildlife preserve.
Na kama kuna akina Matomoso ambao mtalibishia hili naomba mkija Kubisha mje mniambie ni kwanini 90% ya Wanawake (Mademu) ambao huachana na Waume zao / Mabwana zao wengi wao hujikuta wameangukia katika Mahusiano na Wanaume Machakaramu (Masela na Watukutu) na ni nadra sana kukuta wameanzisha...
Wakuu,
Mimi ni kijana wa makamo, on my early 30s, sina familia (mke & mtoto), vipaumbele vyangu kwenye maisha ni kujitoa kwenye dimbwi la umasikini uliokithiri kwenye familia zetu hizi za kiswahili, ukijumlisha nilishawahi kupigwa matukio huko nyuma na wachumba kwa kukosa vijisenti hata vya...
Umofia kwenu.
Wakuu majuzi ilikuwa birthday ya yondani kama sikosei. Jamaa ni moja ya ma legend katika ligi yetu na bongo kiujumla.
Hivyo u_legend wake ilitakiwa iwe mfano mzuri kwa wadogo zake kina mzize lakini bwana mkubwa bado ana usela wa kizamani.
Achana na matukio yake mengi kama vile...
Hello,
Je waoaji na waolewaji wanafahamu na kupata maarifa ya kutosha kuhusu ndoa, why ndoa? Uishije ndoa? Road map ya ndoa inarejea msingi ngapi na ni zipi.
Usipojua haya huna tofauti na masela wenye jinsia tofauti ila wako ghetto na wana mishe mishe fulani.
Hitimisho kama walioa na...
Haya Wewe pamoja na Usomi wako wote na Kujimwambafai Kwako kote kuwa Umeelimika Cheo cha Balozi au hata Vyeo vingine huna, hujavipata na unavisikia tu kwa Wengine katika Bomba.
Na si tu kwamba Bondia Mstaafu Maarufu duniani Mike Tyson ameteuliwa tu kuwa Balozi wa Bangi / Bange nchini Malawi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.