Habari Wakuu,
Kama ilivyo kwa simu za Google Pixel 4a na 4a 5G kuzima ghafla, pindi unapozipeleka kwa fundi jibu linakuwa kuwa "mashine imekufa." Niko na Google Pixel 4a 5G ambayo imezima ghafla, na nilipopeleka kwa fundi, jibu lilikuwa kama kawaida: mashine imekufa.
Ikiwa kuna JF member...
Kwanini: Hii itasaidia kukupa mawazo, taarifa, fikra njema za wapenda haki ambao si rahisi kukufikia by whatever simple means. Na kwa njia hiyo utazifanyia kazi kama zitakuwa within your REACH!.
Pia utaweza kupata the way out on a number of issues that need your attention as President of...
Habari wakuu, nina marafiki wengi walio hitimu chuo mwaka jana lakini mpaka sasa wanahangaika sana na suala la ajira. Nimekuja kugundua kwamba elimu ya Tanznaia haizingatii mahitaji ya soko la ajira kwa sasa na bado tunatumia elimu ya wakolonia aisee. mimi ningeshauri hatua zifuatazo zifanyike...
Position: Climate User Engagement/Agrometeorology Expert
We do this by:
Supporting humanitarian, development and peacebuilding initiatives that protect and empower people
Improving impact at the global and local level through joint projects with partners and stakeholders
Providing...
Hiki Chuo Kikuu ni kikubwa, sasa unapoingia kwenye Website yao huoni huo ukubwa!
Website imekaa ki- utumbo utumbo tu!
Mtu unajaribu ku- access information , mfano: UDSM selection list 2023/2024 pdf.
Hiyo pdf yenyewe uki - click huioni! Ni utumbo mtupu!
Si dhambi kumsifia mtu na kumpa pongezi na hongera kwa kazi nzuri. Website ya TANZLII ya sasa ni user friendly kuliko ya zamani.
It is easy to search for whatever information you want that is provided by the website
Hapa CJ nakupa tono, ila kwingine bado.
Wakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Kwa wanaohitaji kuwa sehemu ya majaribio, mnakaribishwa...
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza...
Habari wadau!
Kama una Laptop au Desktop umesahau Password ya user(admin) au Bios njoo tutatue tatizo.
Gharama ya kuondoa user Password without delete data ni 10,000/= tshs na Bios Password 30,000/= Tshs
Nipo Machinga Complex Karume Dsm 0718 290779
Wakuu,
Naomba Mdau yoyote mwenye User Manual (Mwongozo wa Mtumiaji) gari ya aina ya Toyota Probox anisaidie. Nahitaji soft copy ya mwongozo huo. Waweza attach hapa.
Asante
Habaran wana jamii leo nimekuja hapa tujifunze jinsi ya kutengeneza GUI apps
Naomben kujua ni application gan nzur kwa kudesign GUI
Tayar nkmeshasoma programming language zote C.C++.PYTHON.java. my sql .HTML .php .c#
Ila sasa nataka nijue kutengeneza GUI maswali yangu ni haya.
1.je kila...
Habarini za majukumu ya leo wana jamii forums.
Naomba kuwashirikisha moja ya changamoto iliyotokea kwa watu kadhaa katika zoezi la uombaji wa kazi ya ualimu kupitia tovuti iliyotolewa na TAMISEMI. Baada ya muda mrefu wa mtandao kuwa bize hatimae mfumo umefunguka vizuri.
Baadhi ya watu...
Tunaingia humu JF kwa kutumia hizo njia mbili embu tuambie wewe unatumia ipi kati ya hizo?
Muambie mtu ambae hatumii njia yako vitu ambavyo vinakukera na vinavyo kuvutia zaidi katika njia yako...
Kuna sehemu niliona mtumiaji wa Browser akimuambia mtumiaji wa App kwamba App wanatumia wazee 😀...
Pakua handbook bure chini katika .pdf format... Very resourceful. Wanajamvi tuweke handbooks zote, video illustrations, and any other pertinet information to share with fellow citizens on how we can prevent and control the coronavirus. This thread is intended to leverage in research and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.