ushauri mahakamani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Msaada: Nini kinatakiwa kufanyika ikitokea kikundi kimoja kilishindwa kesi lakini kikaendelea kushirikiana na wizara kuendelea kupinga hukumu hiyo?

    Naomba kujua, hivi ikitokea kuna vikundi viwili vinashtakiana mahakamani na kikundi kimoja kikashindwa na kingingine kilichoshindwa kikakaidi kutumia hiyo hukumu, na kushirikiana na wizara wanaendelea kuvunja hiyo hukumu. Nini kinachoweza kufanyika ili kuondoa huu mkorogo? Hasa vikundi vya dini.
Back
Top Bottom