Naomba kujua, hivi ikitokea kuna vikundi viwili vinashtakiana mahakamani na kikundi kimoja kikashindwa na kingingine kilichoshindwa kikakaidi kutumia hiyo hukumu, na kushirikiana na wizara wanaendelea kuvunja hiyo hukumu.
Nini kinachoweza kufanyika ili kuondoa huu mkorogo?
Hasa vikundi vya dini.
Anonymous
Thread
hukumu mahakamani
mahakama
ushaurimahakamaniushauri wa kisheria
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.