ushawishi wa china

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kupanda kwa nafasi ya China katika nguvu laini duniani kwaonesha ongezeko la ushawishi wa China

    Ripoti ya “Viashiria vya Nguvu Laini Duniani Mwaka 2025” imetolewa hivi karibuni huko London, Uingereza, na nafasi ya China imepanda hadi pili duniani. Hii ni mara nyingine ya kupanda kwa nafasi hiyo ya China, baada ya kupanda kutoka nafasi ya tano hadi nafasi ya tatu mwaka jana. Nafasi hii...
  2. Utafiti: Asilimia 82 ya vijana wa Afrika wanaona ushawishi wa China kwa nchi za Afrika ni jambo chanya

    China imebadilisha uchumi wake katika miongo miwili hadi mitatu iliyopita na kujenga uhusiano wa kibiashara na Afrika. Takriban miongo mitatu iliyopita, sehemu ya biashara ya China na Afrika ilikuwa asilimia 3 pekee. Hata hivyo, kufikia mwaka 2012, takwimu hizi ziliongezeka kwa kasi hadi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…