Elon Musk, mtu tajiri zaidi duniàni siku za hivi karibuni amekuwa akifanya kazi pamoja na Rais Trump. Ukaribu wao unawatia watu wasiwasi hivyi kwamba baadhi ya wataalamu wanadai Serikali ya america inaongozwa na Elon Musk badala Trump.
Hilo halina shaka Elon musk anashauriana na Trump kuhusu...
Wakuu mnijuze.
Wamewahi uwepo mabilionea wengi Dunia I. Wakina Bil Gate, Carlos Slim, Warren Buffet, Suleiman maana wa Daudi etc
Ninachoshangaa huyu jamaa wanakuwa na ushawishi karibu katika Kila kitu Duniani.
SMO ya Urusi Ukraine yeye yuko na ndiye anayesikilizwa.
Mashariki ya kazi Yumo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.