ushimen

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ABUBAKARY Barnabas

    Ushauri juu ya kuanza Kwa ujenzi

    Habarini Wana Jf na wajenzi wa humu Kama kichwa kinavyo sema nina eneo dogo tu ft 50*40 lenye ardhi ya mchanga mweupe kama ule wa kujengea . Wazo langu ni kujenga vyumba vitatu ,sebure,jiko na vyoo vya public ramani hapo chini. Naomba kupata mchanganuo juu ya gharama za boma kabla ya...
  2. Mshana Jr

    Taarifa ya ajali: Mwana JF mwenzetu Ushimen kapata ajali mbaya na sasa yuko Muhimbili hospital

    Na hii ndio taarifa yake Habari ya asubuhi wana familia. Sisi tunaumwa, nilipata ajali mbaya tarehe 5 October na ilionekana nimepata fracture kwenye mguu, siku tatu mbela ikaonekana nimepata clavicle dissociate (mfupa wa bega ulipishana. Na nilimuona bingwa wa mifupa tukapata matibabu (arm...
  3. Intelligent businessman

    Ujasiri na utata wa mzee wangu ushimen, uta kushangaza

    Salaam wakuu, dah nina andika Uzi wangu huu nikiwa Kijiji Cha wapiga miti. 👉Niko na mzee wangu Ushimen, tuki endelea na mapambano yetu Kama Wana familia Ila kuna vitu vya mzee wangu huyu, vina Nishangaza na kuni onyesha kuwa huyu ni zaidi ya dikteta au bepari. Ame binafsisha cheo Cha...
  4. adden

    Ushimen sikujui unijui ila nakuulizia huku ndugu yako!

    habari za jioni. samahani kama nawasumbua. nilikuwa namuulizia jamaa anaitwa Ushimen kama yupo humu. shida yangu ni kumsalimia tuu. sisi watanzania tumefunzwa utamaduni wa kujuliana hali hata kama hamjuani. kama unamfahamu na hayupo humu mpelekeeni salamu zake.
  5. K

    Mashine ya kutengeneza na kukausha chaki za mashuleni on sale

    Mashine ya Kutengeneza na Kukausha Chaki za Shuleni ON SALE Tsh 30mil (Milioni 30) Karibu tufanye biashara. Call 0767 235923. Sifa za Mashine ya Kutengeneza Chaki: Inatumia Umeme wa Single Phase; Ni Semi-Automatic: Inatumia Motor kuchanganya Unga wa CHaki na Maji; Ina Moulds (vinu) 6 za...
Back
Top Bottom