Ona namna shule, madaraja barabara na shule pia hospitali zinavyojengwa .
Je ni Mtanzania gani angechagua upinzani?
Hii ndio sababu ya wagombea CCM kupita bila kupingwa kwa asilimia 90.
Kufuru inawezekana kabisa Mungu sometimes huwa anazijibu mapema. msikilize huyu mama wa CCM huko zanzibar akimkufuru Mungu wa Mbinguni. Amekufa lini?
=====
Zawadi saleh Makame alitoa kauli hiyo Oktoba 3, 2020, ambapo mauti yalimkuta katika hospitali ya Mnazi Mmoja, Unguja Novemba 18, 2020.
Habari Jf..
Nape Nnauye Juzi akiwa Mkoani Kanda ya Ziwa aliwaambia CCM Ushindi ni Lazima hata kwa Goli la Mkono ili mradi tu Referee apulize Kipenga.
"Goli ni Goli tu Hata Kama ni la Kuotea"
Hapa Swali la Kujiuliza Je Referee wa Mechi ya CCM na UKAWA atatuvusha Salama?, Kwa Maana Team zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.