ushindi ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Idugunde

    LGE2024 Rais Samia ameipa ushindi CCM Uchaguzi Serikali za Mitaa kutokana na kutekeleza Ilani ya chama kikamilifu

    Ona namna shule, madaraja barabara na shule pia hospitali zinavyojengwa . Je ni Mtanzania gani angechagua upinzani? Hii ndio sababu ya wagombea CCM kupita bila kupingwa kwa asilimia 90.
  2. R

    Kumbukizi: Aliyesimea Ushindi wa CCM hautegemei Mungu alifariki mwezi mmoja baada ya kauli hiyo

    Kufuru inawezekana kabisa Mungu sometimes huwa anazijibu mapema. msikilize huyu mama wa CCM huko zanzibar akimkufuru Mungu wa Mbinguni. Amekufa lini? ===== Zawadi saleh Makame alitoa kauli hiyo Oktoba 3, 2020, ambapo mauti yalimkuta katika hospitali ya Mnazi Mmoja, Unguja Novemba 18, 2020.
  3. E

    Nape: CCM itashinda tu uchaguzi mkuu ujao hata kwa goli la mkono

    Habari Jf.. Nape Nnauye Juzi akiwa Mkoani Kanda ya Ziwa aliwaambia CCM Ushindi ni Lazima hata kwa Goli la Mkono ili mradi tu Referee apulize Kipenga. "Goli ni Goli tu Hata Kama ni la Kuotea" Hapa Swali la Kujiuliza Je Referee wa Mechi ya CCM na UKAWA atatuvusha Salama?, Kwa Maana Team zote...
Back
Top Bottom