Nimeshawishika kuandika hili baada ya kuona vijana wanafunzi wa sekondari wakikokotwa na walimu wao na kupelekwa kujiandikisha katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Ni jambo zuri vijana kupiga kura, lakini je, walimu wao wanaendelea kuwapa elimu ya uraia vijana hao ikiwemo kuchagua viongozi...
Tanzania tuitakayo ni nchi inayoongoza katika demokrasia na utawala bora barani Afrika. Ni nchi ambayo kila raia ana sauti katika kuchagua viongozi wake na kuamua mustakabali wa taifa lake. Ili kufikia Tanzania hii tuitakayo, tunahitaji kuboresha mfumo wetu wa uchaguzi kwa kutumia teknolojia ya...
demokrasia
gharama za uchaguzi
maendeleo endelevu
siasa na maisha
tanzania tuitakayo
teknolojia ya uchaguzi
tume ya uchaguzi
ushirikiwavijanakatikasiasaushirikiwawanawake katikasiasa
vyama vya siasa