Tanzania na Ireland zimeazimia kuimarisha ushirikiano katika nyanja mbalimbali za maendeleo na uchumi ili kukuza uhusiano wa kidiplomasia, biashara, na uwekezaji kati ya Nchi hizo mbili.
Makubaliano hayo yamefikiwa wakati wa mazungumzo rasmi kati ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
Waziri Mkuu wa Canada anayemaliza muda wake, Justin Trudeau, ametangaza kuundwa kwa baraza la uhusiano wa Canada na Marekani kukabiliana na tishio la Rais mteule Donald Trump la ushuru wa 25% kwa bidhaa za Canada.
Baraza hilo lina wajumbe 18 kutoka sekta mbalimbali, wakiwemo viongozi wa zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.