usiri

Osiris (, from Egyptian wsjr, Coptic ⲟⲩⲥⲓⲣⲉ) is the god of fertility, alcohol, agriculture, the afterlife, the dead, resurrection, life, and vegetation in ancient Egyptian religion. He was classically depicted as a green-skinned deity with a pharaoh's beard, partially mummy-wrapped at the legs, wearing a distinctive atef crown, and holding a symbolic crook and flail. He was one of the first to be associated with the mummy wrap. When his brother, Set, cut him up into pieces after killing him, Isis, his wife, found all the pieces and wrapped his body up. Osiris was at times considered the eldest son of the god Geb and the sky goddess Nut, as well as being brother and husband of Isis, with Horus being considered his posthumously begotten son. He was also associated with the epithet Khenti-Amentiu, meaning "Foremost of the Westerners", a reference to his kingship in the land of the dead. As ruler of the dead, Osiris was also sometimes called "king of the living" as he is the first god-king of Earth in ancient Egypt, therefore considered the blessed dead "the living ones". Through syncretism with Iah, he is also the god of the Moon.Osiris was considered the brother of Isis, Set, Nephthys, and Horus the Elder, and father of Horus the Younger. The first evidence of the worship of Osiris was found in the middle of the Fifth dynasty of Egypt (25th century BC), although it is likely that he was worshiped much earlier; the Khenti-Amentiu epithet dates to at least the first dynasty, and was also used as a pharaonic title. Most information available on the myths of Osiris is derived from allusions contained in the Pyramid Texts at the end of the Fifth Dynasty, later New Kingdom source documents such as the Shabaka Stone and the Contending of Horus and Seth, and much later, in narrative style from the writings of Greek authors including Plutarch and Diodorus Siculus.Osiris was the judge of the dead and the underworld agency that granted all life, including sprouting vegetation and the fertile flooding of the Nile River. He was described as "He Who is Permanently Benign and Youthful" and the "Lord of Silence". The Kings of Egypt were associated with Osiris in death – as Osiris rose from the dead so they would be in union with him, and inherit eternal life through a process of imitative magic.Through the hope of new life after death, Osiris began to be associated with the cycles observed in nature, in particular vegetation and the annual flooding of the Nile, through his links with the heliacal rising of Orion and Sirius at the start of the new year. Osiris was widely worshipped until the decline of ancient Egyptian religion during the rise of Christianity in the Roman Empire.

View More On Wikipedia.org
  1. G

    Watanzania wenye depression hawawezi kushirikisha watu wengine kwa sababu matatizo yao hufika mpaka vijiweni, hakuna usiri !!

    Baada ya mlolongo wa vifo vya Depression ikiwemo cha jana usiku mwanafunzi kujirusha ghorofani niseme tu kwamba watu wanapitia mengi sana, huwa inashauriwa kufunguka matatizo yako kwa watu wa karibu kundoa machungu lakini kwa hapa bongo hali watu wengi huyatunza rohoni. Shida ni kwamba watu...
  2. S

    Consession na lease agreements zinapoandaliwa muda huu, watendaji serikalini wakumbuke maana ya usiri kazini (confidentiality)

    Kosa la kuruhusu mkataba kuvuja na wasiotakiwa kuuona limeshafanyika na gharama ya kujitetea zimekuwa kubwa kwa upande wa serikalini. Mijadala imekuwa ni mingi kutoka kwa watu wa kada mbalimbali juu ya masuala ya kisheria. Nani alivujisha siri za serikali? Wahusika wanajuana na wameshaiona...
  3. Bujibuji Simba Nyamaume

    ''Mikataba Imeisha'' ya Clouds Tv ni program ya kidhalilishaji inayokiuka haki ya usiri mfanyakazi anapomaliza muda wake

    Clouds Media Group wamiliki wa Clouds TV, wameanza kupunguza wafanyakazi kwa namna ya kidhalikishaji na ukiukaji mkubwa wa haki ya Usiri na faragha. Tumeona watangazaji kadhaa wakianikwa mitandaoni kwamba mikataba yao imeisha na wameachwa. Tunaomba uongozi wa Clouds Media kuacha mara moja...
  4. BARD AI

    Nini kipo nyuma ya Mkataba wa miaka 100 ya ukodishaji wa Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World?

    Wakuu, kuna tetesi zinasambaa kuwa baadhi ya Wabunge wamelipwa fedha ili kuupigia kura ya ndiyo mkataba huo wenye utata. Pia inatumika nguvu kubwa kuonesha vigezo vyote vimefuatwa ambapo kwa sasa kuna wanaoitwa Wadau wameitwa kwaajili ya kujadili kwa haraka halafu itaingizwa kwenye maelezo ya...
  5. S

    Usiri watanda ajali ya Naibu Waziri Tamisemi

    Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais (Tamisemi), Dk Festo Dugange amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari Habari za uhakika ambazo Mwananchi limezipata, zinaeleza Dk Dugange alipata ajali hiyo usiku wa kuamkia Aprili...
  6. comte

    CHADEMA kwa Magufuli mlilazimisha nchi iambiwe anaumwa nini ila kwa mwasisi wa chama chenu mnaheshimu haki ya usiri wa mgonjwa

    Mnyika amesema mzee Masinde pamoja na kutambua kuwa anaumwa ugonjwa huo lakini hakutaka ufahamike kwa familia na ndugu wa karibu ili kutozua taharuki na kuwafanya wakate tamaa. =========== Akitoa salamu za rambirambi mbele ya familia ya marehemu, Mnyika amesema Masinde alifariki kwa ugonjwa wa...
  7. U

    Ni zaidi ya Usiri, toka nimejiunga JamiiForums 2010 hakuna anayenijua, completely anonymous

    Jamani tuambiananeni Ukweli, Mimi Sasa ni miaka 12 toka nimekuja jamii forum, Ila hakuna binadamu yoyote anayejua Mimi ni nani, najua rafiki, staff mate na ndugu wamesoma mada zangu nyingi Ila hakuna aneyejua mimi ni nani. Hivi is jamii forum the most secured social media platform ever...
  8. SULEIMAN ABEID

    Mchango wa mbunge mpina bungeni, ahoji usiri mkubwa katika mikataba ambayo serikali inaingia kwa niaba ya wananchi

    Mheshimiwa Spika, Serikali imekuwa ikiingia mikataba mingi kwa ajili ya shughuli za kiuchumi na kijamii na kwa bahati mbaya sana mikataba hii hutuzwa kwa siri kubwa, wabunge na wananchi wamekuwa wakilalamikia utekelezaji dhaifu wa baadhi ya mikataba bila kupata majibu fasaha. Lakini pia taarifa...
  9. Victor Mlaki

    Kelele za ukimya na usiri wa mama wa Kiafrika

    UVUMILIVU NA USIRI WA SIS OSINACHI NWACHUKWU UNAMUONESHA MAMA WA KIAFRIKA NA KELELE ZA UKIMYA. Mama wa Kiafrika anapitia safari iliyojaa kelele za ukimya zinazomtaka awe mstahimilivu na kikubwa zaidi awe msiri juu ya madhila yote anayoyapitia katika KIFUNGO cha staha. Siandiki kumtetea Mwanamke...
  10. THE BIG SHOW

    Usiri wa Hayati Magufuli na kutokuwa muwazi matokeo yake ndiyo haya. Rais Samia songa mbele

    Friends and Our Ugly Enemies, People like Ndugai,hata wakitokea wakafanya jambo lenye tija,hawawez Tena kuaminika na mtanzania yyte mwenye akil timamu,it's unfortunate ndo hivyo ameshakuwa speaker wa bunge lakin hakika ni disgrace to our parliament na nchi kwa ujumla, Just imagine speaker wa...
  11. Frumence M Kyauke

    Tabia ya usiri inawafanya wanaume washindwe kutoa taarifa pale wanaponyanyaswa

    Ukizungumza unyanyasaji wa kijinsia wengi huwaza wa upande mmoja, kwamba ni dhidi ya mwanamke lakini uhalisia ni tofauti kwani hata wanaume hunyanyaswa isipokuwa si wepesi kuzungumza. Hayo yalielezwa mapema wiki hii wakati wa kongamano la kupinga ukatili wa kijinsia lilioandaliwa na Norwegian...
  12. J

    Hakuna usiri wowote kwenye mitandao ya simu ndio maana hata sauti za akina Nnauye na Makamba zilivujishwa. Tusikuze mambo!

    Kama unadhani kwenye mitandao ya simu kuna usiri mkubwa basi utakuwa unajidanganya sana bwashee. Popote duniani kipaumbele ni usalama wa jamii kupitia njia za mawasiliano. Muhimu ni watu kutenda matendo mema, basi. Mungu wa mbinguni awabariki sana!
  13. Musa Meizon

    SoC01 Tambua Nyakati: Usibaki unapotakiwa kuondoka

    Ukweli ni kwamba, ni jambo kubwa sana kutambua NYAKATI, ni muhimu kujua muda gani ufanye Nini? Uwe wapi? na hatima au matokeo ni Nini? Habari yako Mpenzi msomaji. Leo napenda kukuepusha na hatari ya kutotambua nyakati katika MAHUSIANO YA KIMAPENZI. Watu wengi wanapoteza muda kubaki na wenza...
  14. Analogia Malenga

    Mteja ana haki ya faragha na usiri

    Biashara yoyote huweza kutumia mtandao kupata wateja. Wanaotangaza biashara mtandaoni wanapaswa kutambua Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania(TCRA) inaambua haki ya faragha ya mlaji Faragha ni pamoja na kutosambaza taarifa za mteja wako bila makubaliano naye. Tangaza biashara yako bila kuanza...
  15. A

    Usiri wa Mikataba vs Uwazi

    Ndugu wanajukwaa kama kichwa cha habari kinavyosomeka. Ninaomba kuuliza swali: je, tuendelee na utaratibu huu wa mikataba kuwa siri au tubadilishe utaratibu mikataba iwe wazi ili kila mtu ajue mashariti ya hiyo mikataba kama yana faida au lah? Nimeuliza swali hili kutokana na mjadala...
  16. sky soldier

    Tulio shuhudia watu waliozidiwa wakifanya yao mbele yetu tutoe shuhuda

    Kuna vitu ambavyo mwanadamu hawezi kuviamrisha kama usimgizi, haja kubwa inapozidi, n.k ila kuna wengine nahisi hata tamaa zao za kimwili hawawezi kuziamrisha zitulie na watazipooza hata bila kujali usiri. Binafsi nakumbuka chuoni kulikuwa na utamaduni wa kubanjuana kwa kiwango cha juu sana...
  17. Fantastic Beast

    Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yaanza kutoa matokeo ya rufaa za Udiwani na Ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 2020

    Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeanza kutoa matokeo ya rufaa za udiwani na ubunge zilizokatwa na wagombea katika Uchaguzi Mkuu wa 28 Oktoba 2020. Leo tume imetoa matokeo ya rufaa 55 kama ifuatavyo: 1. Imekubali rufaa 15 na kuwarejesha wagombea katika kinyang'anyiro cha uchaguzi. 2. Imekataa...
  18. Roving Journalist

    Uchaguzi 2020 Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu afanyiwa mahojiano kwenye kipindi cha ITV dakika 45

    Turn and watch now. Mgombea Urais wa Chadema Ndugu Tundu Lissu alipata fursa ya kuhojiwa na Mwandishi wa habari Bi. Farhia Middle katika kipindi cha dakika 45 kinachofanywa na kituo cha televisheni cha ITV ambapo aliongea mambo yafuatayo: Mwandishi wa Habari: Kwanini unataka kuchguliwa kuwa...
  19. Chivundu

    Uchaguzi 2020 Uchaguzi 2020 na usiri wa Tume yetu juu ya mfumo wa kuchakata kura

    Wanabodi, Najua wengi wenu mtakuwa mmesahau ule mchezo wa Kenya unaitwa "Kivuitu system". Pamoja na kwamba mfumo wetu uchaguzi kikatiba na kitume haupo huru bado ni jukumu la wapenda haki na wanamageuzi kuhoji na kujua mbinu za kimfumo kama hizi za kucheza takwimu za kura. Sijasikia chama...
  20. M

    Msajili abaini usiri fedha vyama vya siasa

    OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa imemaliza kuhakiki vyama 19 vya siasa vyenye usajili wa kudumu na kubaini 18 havina uwazi katika masuala ya fedha kutokana na kutokuwa na mifumo sahihi ya kuweka fedha na kumbukumbu ya mapato na matumizi. Aidha, tathimini ya uhakiki huo uliofanywa na ofisi...
Back
Top Bottom