usugu wa vimelea

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Chachu Ombara

    KWELI Binadamu anaweza kupata Usugu wa Vimelea kutoka kwa mazao yatokanayo na Wanyama

    Nimesikia sehemu kuwa binadamu anaweza kupata usugu wa vimelea kutokana na kutumia mazao yatokanayo na wanyama mbalimbali, mfano wa mazao hayo ni nyama nk. Hofu yangu ni kuwa wafugaji wengi siku hizi wamekuwa si waaminifu kabisa, wamekuwa wakitumia madawa hatari kwa ajili ya kukuzia haraka...
  2. Hakuna anayejali

    Usugu wa vimelea dhidi ya dawa haya ndiyo maoni na ushauri wangu

    Unachangiwa na tatizo la saikolojia za baadhi ya wahudumu kwenye vituo vya afya. Mfano unakuta mhudumu anamsongo wa mawazo kwa namna yeyote na afikapo kazini anamhudumia dawa mgonjwa badala ya kuandika2*3 ataandika2*2 mwisho wa siku mgonjwa haponi. Ushauri kuwe na watalam wa saikolojia huko...
  3. Hakuna anayejali

    Sababu zinazochangia usugu wa vimelea dhidi ya dawa

    - Msongo wa mawazo Hapa inakuwa hivi unapoenda hospitali mhudumu anakuandikia dawa kimakosa yatokanayo na msongo wa mawazo, mf badala ya kuandika 2*3 anaandika 1*2. Ni vema wahudumu wasahau misongo yao ya mawazo mara tu wanapokanyaga hospitali na kuwe na mtalam saikolojia kuwahudumia watu kama...
Back
Top Bottom