Kwanza Kabisa nawatakieni ninyi nyote Sabato yenye Baraka.
Nimesoma mahali kwamba Mtabiri wa taifa enzi za Nyerere Shehe Yahya Hussein alitabiri Uongozi ujao kuanzia awamu ya 4 hadi ya 6 Watatawala CCM lakini awamu ya 7 atachaguliwa Kiongozi wa Upinzani Kuongoza nchi
Kwamba mwisho wa CCM. Je...