utafiti huduma maji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nahitaji kujua maeneo ambayo hayajafikiwa na huduma ya maji na mamlaka kwaajili ya utafiti wa kielimu

    Nije Moja Kwa Moja kwenye mada. Nahitaji kujua ni maeneo au eneo gani iwe Eilaya/Kata au kijiki/mtaa ambalo hawajafikiwa kabisa na huduma ya maji ya mamlaka, na Wakazi wake wanatumia maji ya kisima, mito au maziwa. Nahitaji hii Kwa ajili ya utafiti wa kielimu.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…