Kama bado unajitafuta kimaisha, hakikisha unaishi kwenye haya mambo matano (5);- SHAUKU, UDADISI, UKALI, KUBADILIKA, & USIRI.
1. SHAUKU
Kama unajitafuta ni vyema kuwa na shauku kubwa ya kufika mahali unapopataka. Usibaki kuwa na ndoto pekee ya mdomoni, akilini au kwenye makaratasi - bali anza...