Watu wanaoamini katika mambo makubwa wanaitwa wabunifu wa maono makubwa au watu wenye maono makubwa.
Hawa ni watu ambao wanaamini na kutafuta kutimiza malengo ya juu au malengo makubwa ambayo wengine wanaweza kuyaona kama changamoto au yasiyowezekana. Sifa zao ni pamoja na:
1. Ubunifu –...
Kwa macho yangu nimeshuhudia tajiri anafilisika.
Toka kukopesha watu kiasi chochote.
Mpaka ofisi inafungwa.
Itoshe kusema tu kuwa, hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.