Amani iwe nanyi.
Katika pita pita zangu huko TikTok, nikaona "anonymous member" mmoja anaelezea utajiri wake ambao kwa sasa hana amani nao na hautaki tena.
Binafsi (sijui ni njaa) sijaona kama ni mbaya, au sijaona mateso hapo. Naona ni kama tuu kazichoka pesa, amezimiss shida.
Ok, wenyeji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.