Mtanisamehe kwa nitachosimulia hapa lengo vijana mjifunze. Kuna jamaa yangu alikuwa mpambanaji sana na ni mtu wa malengo ya kufikia utajiri na lengo lake alitaka utajiri wa kishirikina. Kahangaika sana kwa waganga kapoteza pesa mingi kwenye hilo jambo mwisho akawa amekata tamaa.
Baada ya kuona...
Kuna aina nyingi za utajiri wa kishirikina ambazo zinazungumzwa kila siku, ila kuna aina hii ya utajiri ambao watu wameunyamazia lakini unaumiza watu wengine katika utafutaji. Kuna watu kazi yao ni kuharibu nyota za watu na kuzichukua wao
Anaweza kuja kwako akakuazima pesa kidogo akaenda...
"Satan can't and never gives a free gift" Atakupa wewe muhitaji materialist faraja lakini he must bite back your family later days!
Through my studies msaada wowote utolewao na shetani, aidha katika biashara zako, kazini kwako, kwa lengo la promotion au kupanda cheo au biashara itoke kwa nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.