utalii wa vyakula vya asili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Watu kutoka Mbeya pamoja na utajiri wa vyakula uliopo huko watu bado afya zao ni mgogoro

    Bado niko mbeya Juzi jumapili nikawa mgahawa mmoja maarufu hapo mtaa wa Soweto. Nikasema ngoja nifanye simple research kuhusu ulaji wa watu wa huku. Imagine mtu anakunywa supu na Chips, kweli hivi vitu vinaendana? Unakuta mwanamke anakupigia supu ya kongoro na ndizi afu anashushia na tochi...
  2. Angellah Kairuki: Tanzania imepata fursa ya kuwa Mwenyeji wa Kongamano la Pili la Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN )

    Waziri wa Maliasili na Utalii,Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amesema Tanzania imepata fursa ya kuwa Mwenyeji wa Kongamano la Pili la Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UN ),Kanda ya Afrika kuhusu utalii wa vyakula vya asili litakalofanyika mwaka 2025. Ameyasema hayo leo jijini Victoria...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…