Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa Watanzania na wadau wa sekta ya Utamaduni na utalii kuona namna ya kuufanya utamaduni kuwa biashara ili ulete manufaa ya kiuchumi kwa nchi.
Ametoa rai hiyo wakati akihitimisha Tamasha la Tatu la Utamaduni la...
Tamasha la Tatu la Kimataifa la Utamaduni litakalofanyika mkoani Ruvuma kutoka Septemba 20 hadi 23, 2024, linaonyesha umuhimu wa kuenzi tamaduni za Tanzania na kuwavutia watu kutoka ndani na nje ya nchi. Watanzania wote wanahimizwa kushiriki na kujifunza kuhusu utajiri wa tamaduni za Ruvuma na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.