Utani ni nini?
Utani ni maneno ya mzaha ila yenye ukweli fulani ndani yake.
Makazini na vibaruani kwetu au sehemu za starehe tumekuwa tukitaniana, tunacheka tunagonga tano na maisha yanaendelea.
Lakini wengi tunaambiwa maneno ya kweli kupitia utani.
Si kila kabila hutaniwa, wengine huchukia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.