utani wa simba na yanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Nawapa za ndaaaani kuhusu bifu la Wazee wa Yanga na Injinia Hersi hadi jana kufungwa na Azam

    Yanga wana timu nzuri sana na hata jana tumeona licha ya kuwa wamefungwa wakiwa pungufu lakini Azam waliomba poo, mimi ni mtu wa mpira siongelei mpira kiushabiki ama kutafuta followers, nimekaa kwenye tasnia ya soka la bongo tangu mwaka 1989 nikiwa naingia bure uwanja wa uhuru, enzi hizo Sigara...
  2. Ubaya Ubwela

    TBT, Mashabiki wa Yanga ni mambumbu hawajui mpira

    "Mashabiki wa Yanga ni Mambumbu Wanapiga kelele tu nakuzomea kama mbwa au Nyani lakinu hawajui mpira" Luc Eymael
  3. magnifico

    Simba Wasipojitathimini Kuna Uwezekano Yanga Akachukua Ubingwa Mara Saba Mfululizo Kama Juventus

    Ndugu zetu Simba msimu huu wamekuja na kauli mbiu hizi, Yanga anabebwa, Yanga ananunua mechi, GSM anatuharibia ligi na kuna muda wakipagawa zaidi utawasikia wanasema Yanga imeshuka kiwango. Maoni yangu, mafanikio ya Yanga yanaanzia kwenye uongozi. Sitaki kumuingiza GSM japo nae anaplay part...
  4. GENTAMYCINE

    Kumekucha: Mganga wao kasema kwakuwa safari hii wameshindwa kutoa Kafara kama kawaida yao, Kesho Wanakufa kwani Wenzao wamemaliza Shughuli

    Na pia kuna Sharti moja Muhimu sana leo Limekiukwa pale katika Press yao na Wakagombana katika Gari. Kudadadeki.
  5. Majok majok

    Kwa nilichokiona leo kuna maafa mengine yananukia tarehe 8, kitakachowaokoa ni sangoma. Yanga wanaanzia walipoishia

    Mechi ya Leo kati ya yanga na Augsburg miamba ya soka ujerumani imetuonyesha picha halisi ya kikosi Cha wananchi. Timu imetulia, inacheza soka la kitabuni, Inacheza kitimu bila kujali wanacheza na timu iliyo daraja la juu kabisa inayocheza ligi kuu ya ujerumani bundesliga! Hii inaonyesha...
  6. J

    Pre GE2025 Manara: Utani wa Simba na Yanga umesaidia kuleta Utulivu nchini, utakuta Maji, Sukari na Umeme hakuna lakini Media zinajadili Simba na Yanga!

    Katibu Uenezi wa CCM mkoa wa DSM mstaafu Alhaj Hajji Manara amesema Utani wa Simba na Yanga umesaidia kuleta Utulivu nchini na Serikali inauunga mkono 100% Manara amesema unaweza kukuta Maji hakuna, Umeme hakuna, Sukari hakuna lakini Wananchi kwenye mitandao ya Kijamii wako busy kuwajadili...
Back
Top Bottom