utapeli wa mitandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Nicole kufikishwa Mahakamani kwa Utapeli wa Mitandaoni

    Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam Jumanne Muliro amesema kuwa idadi ya Watu wanaojitokeza wakidai kutapeliwa na Msanii Joyce Mbaga maarufu kama Nicole inaendelea kuongezeka huku kiwango cha fedha kilichotapeliwa nacho kikiongezeka pia. Soma: Nicole Joy Berry mrembo aliyejulikana kwa...
  2. Davidmmarista

    Tambua Utapeli Mbalimbali Mtandaoni - Sitapeliki

    Karibu Wadau wa JamiiForums! Kama mpenda teknolojia na mtafiti wa masuala ya usalama mtandaoni, leo nimekuja kuwafunua kuhusu utapeli unaosambaa kwa kasi katika dunia ya kidigitali. Najua kuna watakao pokea elimu hii kwa mikono miwili, lakini pia kuna wale watakao pinga kwa ubishi na ujuaji...
  3. mzeewabarakoa

    Utapeli wa upatu wa kimtandao ni janga sugu Tanzania, Serikali ina la kujifunza

    Habari za muda huu ndugu zangu kuna jambo linaniwazisha sana hasa juu ya hii mifumo ya upatu maarufu kama Ponzi schemes(kama sijakosea herufi) binafsi sijawahi kushiriki Ila naona kama serikali inachelewa sana kutambua haya mambo au inafanya makusudi? au kuna baadhi ya watumishi wa serikali...
  4. RIGHT MARKER

    Utaibiwa kizembe kwasababu ya tamaa zako. Kitu pekee utakachokula bure mjini ni mate yako tu

    MHADHARA (89)✍️ Kitu pekee utakachokula/utakachomeza bure mjini ni mate yako tu. Lakini vingine vyote ni gharama. Hakuna cha bure, ni lazima ulicholishwa utalipia kifedha, kiroho, kimwili, kihisia, kiakili, n.k - kama hutolipia leo utalipa hata baadae. Punguza au acha kabisa tamaa, uzembe...
Back
Top Bottom