utapeli wa simu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. V

    DOKEZO Namna Wazazi wetu wanavyotapeliwa pesa na wasajili laini wasio waaminifu

    Habar Wana jamvi, Wiki iliyopita nilipata wasaa wakutembelea kwetu Kijijini nikiwa kule Kijijini nilipata nafasi yakuzungumza na watu wa makundi mbalimbali, Wazee, Vijana ndugu na marafiki. Stori iko hivi, kule Kijijini kuna wale Vijana wanaosajili laini za mitandao ya simu kama Vodacom...
  2. Nimeitwa tapeli na mdai madeni wakopeshaji wa mitandaoni

    Nimepigiwa simu na namba ngeni, bila kujitambulisha kanambia nisaidie kumtafuta mtu fulani ambaye namfahamu, eti alikopa kwao pesa na kuniweka mie mdhanini. Nikamwambia mie sifanyi hizo kazi. Kanijibu niache utapeli. Nilipozidi kumsisitiza ache kunitusi na sijui namba yangu kaipataje akazidi...
  3. Airtel Tanzania nendeni mkajifunze kwa wenzenu wao wamewezaje?

    Wasalaamu, Kwa watu wa Airtel kujifunza kwa wenzenu sio dhambi kuna haka ka message "Hiyo hela itume humu kwenye Airtel 06970534*** jina lije EDWARD R****". Kaulizeni kampuni zingine kama Voda na Tigo/Zantel zimewezaje kuzuia hizi message zisiende kwa wateja mtumie njia hiyo nanyi kuzizuia...
  4. H

    Nini kinaendelea katika mitandao ya simu?

    Wana wa Jamiiforums, Nawasalimu. Sina uhakika kama hili linatokea kwangu tu au ni kwa kila mtu zaidi ya mara tatu au nne imetokea kwamba nikipiga tu simu kwa mtu tukajadili habari ya hela ambayo pengine natakiwa kuituma kwa njia ya simu pindi nikikata tu simu meseji inaingia kuwa tuma kwa namba...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…