Uelewa mdogo wa jamii kuhusu masuala ya lishe ikiwemo matumizi sahihi ya vyakula vinavyopatikana katika maeneo mbalimbali ya nchi ni miongoni mwa sababu zitajwa kuchangamoto utapiamlo ndani ya jamii.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma Lishe Wizara ya Afya, Neema Joshua, Julai 23...