Kuna jambo mmoja watu wengi hawajamuelewa Rais wetu au mfumo mzima wa CCM. Hawataki kuonekana kuwa wafanyalo linatokana na Wazo la wapinzani hata kama wazo hilo lina manufaa kwa taifa 💯 %.
Hivyo pamoja na Nape kufanya kosa hili kubwa sana la kimaadili ya uongozi maana kauli yake sio kwamba tuu...