Kenya ni majirani zetu wa karibu sana lakini yanayoendelea Kenya sio demokrasia kama ambavyo wengi wanadhani lakini hiyo ni politics accident !
Kuna watu wapo nyuma ya mpango wa kuvuruga utulivu na kuondoa kabisa utulivu wa kimamlaka ili kwamba rais ashindwe kutimiza wajibu wake !
Moto huu...