Ukitaka kuamini haya angalia mpaka leo waafrika wanakimbilia zaidi nchi zipi bila kuhofia hata dini au rangi zao ? wanapewa zaidi misaada ukiachana na mikopo na nchi zipi ? kwanini mwafrika wanapenda zaidi kufanya kazi kwa wazungu?
Africa hata kuwa na nchi zake baada ya ukoloni ni kama muujiza...