Sasa Ndio Chadema wamegundua uRais ni Taasisi tofauti kabisa na Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Siasa kama alivyo mh Mbowe hapo Chadema HQ Mikocheni
Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ameamua kumuenzi Shujaa Magufuli kwa kuipa Stesheni Kuu ya Treni ya SGR Jina la " Magufuli "
Hii ni Heshima kubwa...
Bado kuna baadhi ya tofauti kubwa kati ya Tanzania ya Magufuli na Tanzania ya Rais Samia Suluhu.
Hapa ni baadhi ya mambo muhimu:
1. Uongozi na Mtazamo: Rais Magufuli alikuwa na mtazamo tofauti kuhusu masuala ya kisiasa, kiuchumi na kijamii ikilinganishwa na Rais Samia. Magufuli alijikita sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.