The Damned Utd is a biographical novel by British author David Peace, published in 2006. Depicting events in the life of English football personality Brian Clough, it is set during Clough's brief and unsuccessful 44-day spell as manager of Leeds United during 1974, with frequent flashbacks to his earlier period as manager of Derby County. Despite critical acclaim, the novel was also the subject of controversy for its perceived negative portrayal of Clough and some historical inaccuracies. It was adapted into a film called The Damned United, released in 2009.
Kutokana na elimu yangu ya unajimu niliyoachiwa na marehemu Sheikh Yahaya, Man Utd leo atashinda au atadroo.
Hivyo punguzeni matarajio ya kuwa atafungwa hasa nyie wadau wa mikeka.
Mechi itaamuliwa na mabeki zaidi na viungo kwa mbali.
https://www.netflix.com/us/title/81223488?s=a&trkid=13747225&trg=cp&vlang=en&clip=81728489
Jamaa nilimu idolize sana miaka ile hadi nikawa napiga cross kama zake mpirani
Hakika Sir Alex alikuwa mwalimu wa mpira.
Siku kama ya leo, miaka 12 iliyopita, Sir Alex Ferguson aliiongoza Man Utd kuinyoa Arsenal 8-2.
Ni pambano la kukumbukwa sana. Arsenal ilikuwa chini ya Profesa Arsene Wenger.
Hii mechi uliicheki ukiwa wapi?
Pazia la EPL linaenda kufungwa jumapili hii. Bingwa ameshapatikana ambaye ni Man City.
Top 4, timu zishapatikana ambazo ni Man City, Arsenal, Newcastle United na Man Utd. Kimbembe kitakuwa kule bondeni, kwa wanaoshuka daraja.
Tayari, Southampton ameshashuka daraja, bado timu mbili za kuungana...
Wayne Rooney’s son Kai says he sees himself playing in the Premier League in 10 years time - and that his biggest inspiration is his dad.
The 13-year-old is currently in Man United’s academy system. He said: “In ten years hopefully I will be playing in the Premier League for Man United …that’s...
Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na Singida United Kipanya Malapa amefungua biashara ya mishikaki na kachori maeneo ya nyumbani kwao Buguruni.
Kipanya anamshukuru sana mchezaji mwenzie wa Yanga Said Maulidi Kalikula kwa kumuunga mkono na kuomba wadau wengi wapite maeneo ya Buguruni Kona kupata...
Philip Jones alisajiliwa na aliyekuwa kocha wa Man Utd, Sir Alex Ferguson mwaka 2011. Kipindi hiko akiwa kinda akichezea Blackburn Rovers.
Alitajwa kama mchezaji bora katika nafasi ya ulinzi wa kati kwa siku za usoni.
Phil Jones akaanza kuandamwa na majeraha ya mara kwa mara. Nafasi yake ya...
Saa 1:30 usiku kwa masaa ya Afrika Mashariki, Arsenal itakuwa inashuka dimbani kupambana na wapinzani wao Man Utd.
Man Utd itashuka dimbani bila kiungo wao mahiri Casemiro, ambaye amekuwa mhimili mkubwa sana kwao.
Ikumbukwe mechi ya kwanza Man Utd alishinda 3-1 dhidi ya Arsenal pale Old...
Sababu ya kutoa maoni hayo ni kwa kuwa wana hofu yasije kujitokeza kama yaliyotokea kwa Cristiano Ronaldo ambaye aliwahi kuitumikia klabu hiyo kwa mafanikio lakini baada ya kurejea mambo hayajawa mazuri kama ilivyokuwa awali.
Depay ambaye aliwahi kuichezea United mwaka 2015 hadi 2016, alifunga...
Yalikuwa ni maamuzi ya wazimu kabisa. Tazama ndani ya muda mfupi tu Spars ilivyobadilika, Naamini kabisa kwa Man Utd mwaka huu Conte angeli challenge Title na Man City.
Mwanitesa united a.k.a manyua au maarafu kama man utd imekumbana na kitu kizito kichwani leo hii baada ya kulwamba magoli 2-1 hi timu ni mbovu mnoo inaleta stress, inaleta magonjwa ya moyo kila siku ni huzuni juu ya huzuni!
Wale wababe wa yanga africans waliowapiga nje ndani wamechukua ubingwa wa nigeria na governor wa jimbo lao la Rivers state Nyesom wike kawazawadia usd 20,000 kila mchezaji
sasa timbwili ni kwamba kaahidi kuwapeleka jijini madrid spain kwa ajili ya pre season na siyo mara ya kwanza kwani hata...
Zimebaki wiki mbili kabla ya pre season ya Man Utd ianze mwishoni mwa mwezi huu lakini mpaka leo hakuna usajili wowote uliofanyika.
Mashabiki wa Man Utd wana matumaini makubwa sana Kocha mpya wa Man Utd, Eric Ten Hag (ETH), lakini matumaini hayo yanaweza yakayeyuka kama hatopewa/kusajiliwa kwa...
Kocha wa Manchester United, Ralf Rangnick ameteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Austria majukumu ambayo atayaanza baada ya kumalizika kwa msimu huu.
Pamoja na hivyo atakuwa akiendelea na mjukumu ya kuwa mshauri wa Man United jambo ambalo mashabiki wa timu hiyo wamekasirika na wamekosoa...
Full name: Manchester United Football Club
Nickname(s): The Red Devils
Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C.
League: Premier League
Website: ManUtd.com
Ground: Old Trafford, (Capacity: 74,994) - Pitch 105m x 68m
Co-Chairmen (Owners): Joel na Avram...
club
english
everton
kuangalia
kuhama
man
man united
man utd
manchester united
mbappe
mchezaji
mechi
miaka
miaka 24
msimu
package
premier
premier league
psg
rasmi
thread
umri
united
utd