Nchi zetu hizi za kiafrika ni kama tumelaaniwa, itafika wakati watu wataona aibu kuzaliwa nchi zetu
hazina mipango wala chochote, mipango ni kutazama huduma za jamii basi,
Nikirudi kwenye Hoja, tunahitaji kuwa na mpango wa kuondoka katika utegemezi wa mafuta.
na hapa ni lazima tuweke mkakati...