Kulingana na RIPOTI KUTOKA OFFICE OF HIGH COMMISSIONER FOR HUMAN RIGHTS (OHCHR)ambayo ni ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na kukuza na kulinda haki za binadamu duniani ikiwa inasimamia utekelezaji wa mkataba wa kimataifa wa haki za binadamu na na kusaidia nchi wanachama katika kuimarisha...
29 people still missing as police deny role in anti-tax bill protest abductions
The National Police Service (NPS) has recorded 57 abduction cases since the youth-led demonstrations began on June 18, 2024, Inspector General of Police Douglas Kanja says.
Appearing before the Committee on...
Watu wanne wamenusurika kifo baada ya kupigwa na kukatwa mapanga pamoja na gari waliyokuwa wakiitumia aina ya Raum kuchomwa moto katika Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara kwa kudhaniwa kuwa ni wezi wa kuiba Watoto baada ya kumpa pipi Mtoto aliyekuwa akipita pembeni ya gari yao waliyokuwa wanaitumia...
Kwenye kipindi cha asubuhi ya leo wakati wakipitia magazeti wametumia takribani robo tatu ya muda wote wa kipindi hicho kuelezea kadhia ya kupotea kwa watu katika mazingira yasiyoeleweka huku mamlaka husika zikisalia kimya.
Ukweli ni kwamba ukijaribu kuvaa viatu vya wale waliopotelewa na...
Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa.
Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani.
Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.