utekaji wa watoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Mwanza: Watoto wawili wa Shule ya Blessing Model watekwa, wengine Wanne wanusurika

    Watoto wawili wanafunzi wa Shule ya Blessing Model School iliyoko Nyasaka Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza wametekwa na watu wasiojulikana huku wengine wane wakinusurika. Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema tukio hilo...
  2. Chakaza

    Pre GE2025 Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"

    Hakuna haja ya kuwa na Bunge linalokataa kujadili Masahibu yanayo wakumba watoto wetu, kaka zetu na ndugu zetu kwa sababu tuu hoja imeletwa Bungeni na Mbunge wa upinzani Aida Kenan wa CHADEMA. Hii ni high level ya stupidity and contempt kwa wananchi hasa kipindi hiki wanalizwa na yanayo tokea...
  3. Bulelaa

    Huu utekaji nyara wa watoto wetu mashuleni na mitaani kisha kunyofolewa viungo vyao, nani mhusika?

    Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa. Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani. Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa...
  4. Mzalendo Uchwara

    Tahadhari kwa wale mnaojihusisha na utekaji wa watoto, mkono wa dola utawafikia tu na mtaishia kaburini

    Jeshi la polisi lina mapungufu mengi ambayo sina haja ya kuyataja. Upelelezi huwa unakwenda taratibu lalakini wahalifu watakamatwa tu. Sasa kwa wewe mpumbavu uliyejihusisha / unayepanga kujihisisha na ujinga huu unaoendelea wa kuiba na kuteka watoto nikwambie kuwa utafikiwa tu. Tena hata...
  5. mwanamwana

    Utekaji wa watoto: Gari yadaiwa kukamatwa ikiwa na watoto wawili waliotekwa

    Salaam wakuu, Kuna video nimekutana nayo ikimuonesha Mwenyekiti wa Kijiji cha Kwa Zoka, Vigwaza akielezea tukio la utekaji lililotokea Mlandizi. Mwenyekiti huyo amesikika akimpa maelekezo Mwalimu Mkuu ambaye hajafahamika jina akimtaka kuitisha kikao na wazazi kwa ajili ya kuwaeleza...
  6. THE BEEKEEPER

    Nini kifanyike kwa utekaji wa watoto mashuleni maana ishakuwa ni changamoto?

    Ndugu watanzani. Maoni yenu. Kikubwa nikuhakikisha kila mmoja wetu kuwa mzazi ukiona kitendo cha kutilia shaka Amka uchunguze usije kusema niliona kabeba gunia nikajua kabeba mzigo kumbe mtoto nooooo ukiona namna uelewi fatilia uelewe utoe msaada
  7. 101 East

    DOKEZO Matukio ya kutekwa kwa watoto maeneo ya Kigamboni na maeneo jirani

    Kumekuwa na hali ya sintofahamu inayoendelea Kwa wakazi wa Kigamboni na Maeneo jirani ya kijichi, mbagala kuu na Mikwambe baada ya matukio ya kutekwa kwa watoto wadogo wa shule za msingi na secondary hali inayopelekea wazazi wengi wakazi wa maeneo hayo kuhofia usalama wa watoto wao pindi...
Back
Top Bottom