QUUR-JUWAAN . Nikimnukuu Magoma, Mwanachama wa Yanga aliyekwenda mahakamani kuishtaki Bodi ya wadhamini wa Dar Young African, aliulizwa haogopi Ju-Ju- Man akajibu hapo ndio wasijaribu, kwasababu atasoma Dua inayoitwa QUUR-JUWAAN ambayo itamkuta aliyetenda, aliyehadithia, aliyechangia hoja...