Najua nitatukana na machawa ya mwendazake lakini ukweli lazima usemwe
Je, uzalendo na utetezi kwa wanyonge aliojiita mwendazake upo wapi kama haya aliweza kuwatendea hao hao wanyonge?
1. Kuwadanganya kuwa tutalipwa kodi ya tril. 360 za Barrick kumbe ni kanyaboya?
2. Fedha za plea bargain...